Burudani
Wakili wa Wema Sepetu afunguka ‘Mteja wangu aliumwa tumbo la ghafla akiwa Kisutu’ (Audio)
Wakili wa Wema Sepetu, Ruben Simwanza afunguka sakata la mteja wake kukamatwa baada kushindwa kutokea Mahakamani “Wema alifika mahakamani lakini akaumwa tumbo la ghafla, kesho asubuhi tutaangalia namna gani tunaweza kumsaidia mteja wetu”