Siasa
Wanachama Milioni 1,023, 911 wa CCM wamdhamini Rais Magufuli kupitishwa kwa fomu ya Urais (+Video)
Jumla ya wanachama Milioni 1,023, 911 wa @ccm_tanzania wamejitokeza kumdhamini Mwenyekiti wao Rais @MagufuliJP katika fomu za kuwania kupitishwa na chama hicho kugombea nafasi ya Urais kwenye uchaguzi mkuu. Julai 11, Mkutano Mkuu wa chama utakutana kumpigia kura.
https://www.youtube.com/watch?v=Ge5QDFziDIo