Wanachuo wa Royal watembelea Mwananchi Communication
Wanachuo kutoka chuo cha uandishi wa habari na utangazaji cha Royal College of Tanzania, jana ijumaa walifaanya Tour ndogo kwenye kampuni ya magazeti la Mwananchi, Citizen na mwanasport yenye makao makuu yake relini maeneo ya Tabata.
Mwanachuo waliweza kujifunza mambo mengi juu ya kampuni hiyo inavyofanya kazi kuanzia Hard News mpaka kiwandani, na hizi ni baadhi ya picha za mwanzo wanafunzi hao walipoanza safari mpaka kufikia kwenye kampuni hiyo.
Kazi ilianza kwa kupanda gari aina ya Coaster lakini ikawa ndogo sababu ya wanachuo hao kuwa zaidi ya 40
Mwanafunzi Peter akishuka tayari baada ya kufika kwenye kampuni hiyo
Hapa raisi wa chuo cha Royal Godwin akiwa na baadhi ya wanachuo wenzake.
kuanzia kushoto ni Mohamedi Mussa akiwa na mwalimu Mr Owenja, Mwanahawa na raisi wa Royal Godwin Mawanja
Mhariri msaidizi akitoa histori fupi ya kampuni hiyo, ambayo ilianza mikononi mwa Serikali kabla ya kuchukuliwa na wakenya.
Baadhi ya waandishi wakiwa kwenye pilika za kikazi,,
Wanachuo wakiendelea kujifunza hapa walikuwa graphics
Hapa wakionyeshwa jinsi ya gazeti la Mwana sport linavyoandaliwa.. na moja ya elimu iliyotolewa hapo kwamba gazeti hilo yanatolewa ya aina mbili moja kwa mauzo ya Tanzania na lingine kwaajili ya biashara Mombasa Kenya.
Hapa tulimaliza kazi kabla ya kwenda kitandani.