Uncategorized

Wanandoa wafariki dunia kwa ajali ya helikopta, ni Gavana mpya wa Mexico

Gavana mpya wa jimbo la Puebla lililopo nchini Mexico, Martha Erica Alonso na mumewe Seneta Rafael Moreno Valle wamefariki dunia papo hapo baada ya helikopta waliyokuwa wanaiendesha kuanguka na kuungua muda mfupi baada ya kuruka.

A woman speaks into a microphone while standing at a lectern.


Gavana huyo, Alonso aliapishwa mnamo Disemba 14 na kuwa gavana wa kwanza mwanamke kuongoza jimbo hilo.

A man gives a double thumbs-up at polling boxes, surrounded by photographers.


Mume wake, Seneta Valle aliwahi kuliongoza jimbo hilo kati ya mwaka 2011 na 2017.

The wreck of a white helicopter lays in a paddock, with police tape blocking the site.

Hata hivyo kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa kiongoziwa usalama, Alfonso Durazo amesema kuwa tayari wameanza uchunguzi ili kubaini chanzo cha ajali hiyo.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents