Habari
Wanaofanya biashara ya Utalii kinyume na sheria wapewa onyo kali
Wizara ya Maliasili na Utalii imetoa onyo kali kwa wafanyabiashara wote wanaofanya baishara ya Utalii kinyume na sheria ikiwemo kutokuwa na leseni ya Maliasili na Utalii (TTBL),watu hao pia wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya udanganyifu hivyo kuleta Taswira mbaya sekta ya Utalii.
Soma taarifa kamili: