Habari

Wanasiasa wajitokeza kuaga mwili wa mke wa Mzee Kingunge (+Picha)

Viongozi mbalimbali wa Siasa wa jitokeza kuaga mwili wa Mke wa mwanasiasa Mkongwe, Kingunge Ngombale Mwiru. Nyumbani kwake Makumbusho jijini Dar es salaam.

Peras Kingunge (Mke wa Kingunge) alifariki dunia katika hospitali ya Taifa Muhimbili.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents