Wanigeria wamvimbia Diamond Platnumz kisa tuzo ya SoundcityMVP
Baada ya msanii wa muziki Diamond Platnumz kutoka Tanzania, kuibuka msindi wa tuzo ya muziki ya Soundcity MVP Awards 2017, kupitia kupengere cha ‘Best Male MVP’ wadau na mashabiki wa muziki nchini Nigeria wameonyesha kutofurahishwa na ushindi huo.
Katika kipengere hicho alichoshinda Diamond, alikuwa akichuana na wasanii kama Runtown, Davido, Olamide, 2face Idibia, Wizkid, Shatta Wale, Navio na Sarkodie.
Kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter mashabiki hao wameonyesha hisia zao za kutofurahia ushindi wa msanii huyo.
https://twitter.com/OsasCruz/status/952065175615692801?ref_src=twsrc%5Etfw&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.lindaikejisblog.com%2F2018%2F1%2Fnigerians-on-social-media-angry-as-dianmond-platnumz-wins-best-male-mvp-at-soundcity-awards-ahead-of-runtown-davido-2face.html
Diamond who???!!!!! Best Male??!!! This place just flipped!!! Hooooowwww????!!!!!
— Ovie (@OvieO) January 12, 2018
https://twitter.com/Slyxra/status/951976617848590336?ref_src=twsrc%5Etfw&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.lindaikejisblog.com%2F2018%2F1%2Fnigerians-on-social-media-angry-as-dianmond-platnumz-wins-best-male-mvp-at-soundcity-awards-ahead-of-runtown-davido-2face.html
pls
mention just one hit single from diamond that took AFRICAN AIR IN 2017 @SoundcityMVP
diamond ko BRONZE NI#SoundcityMVP
— Lil iz (@LilizMusic) January 13, 2018
You people should not do and end up like “HEADIES AWARD” what’s diamond platnumz, stop joking with us and give us the real winner pic.twitter.com/3RBAf7tovf
— EBERE 💀🇳🇬 (@princeebere_) January 13, 2018
Ugawaji wa tuzo hizo umefanyika usiku wa jana nchini Nigeria na msanii Davido aliibuka kinara kwa kutwaa tuzo tatu kubwa ambazo ni ‘Song of the Yeara’, Video of the year’ na ‘African Artist of the Year Award’.