Michezo

Waonesha mpira wa miguu kwenye vibanda umiza waitwa TFF

Waonesha mpira wa miguu kwenye vibanda umiza waitwa TFF

Shirikisho la Soka nchini Tanzania TFF, limewaita watu wote wanaoonesha mpira katika vibanda Jijini Dar es Salaam.

Watu wakiangali mpira kibandani

TFF imesema kuwa imewaita watu hao kwa ajili ya kufanya kikao cha pamoja cha majadiliano ya ushirikiano, kitakachofanyika katika ofisi za shirikisho hilo, Karume katika manispaa ya Ilala.

Wamiliki hao wa vibanda vya kuonesha mpira wameombwa kufika kesho Jumanne, Agosti 27. Taarifa kamili ya TFF ni kama inavyoonekana hapa chini.

By Ally Juma.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents