Burudani
Wasanii 5 pekee kutoka Tanzania watajwa Afrima 2018, Alikiba, Vanessa na Nandy watoswa
Tuzo za All Africa Music Awards (Afrimma) za nchini Nigeria zimetoa list ya wasanii ambao wameingia kwenye kinyang’anyiro hicho.
Wasanii wengi wa Tanzania wameshindwa kufanya vizuri safari hii baada ya wasanii wa WCB wakionekana kutawala zaidi kwenye list hiyo.
Katika kipengele cha Best Male Artiste in Eastern Africa, Diamond, Raynanny pamoja na Harmonize.
Kwa upande wa wasanii wa kike, Maua Sama amekuwa nominated kupitia kipengele cha Best Female Artiste in Eastern Africa.
Alikiba na Vanessa Mdee ni kati ya wasanii ambao wamekuwa wakitajwa mara kwa mara lakini mwaka huu wameshindwa kufurukuta kabisa.
AFRIMA nominees for Best Female Artiste in Central Africa.
Wcb for life kila siku wako mstali wa mbele
#Wcb4life
Aahhahah wcb bhna 🔥
kwn ally Ali Kiba msanii?
Doh kwann wamewatoa
sasa kwa akili yako Ally Kiba ,nae ni msanii anaetazamiwa kufika mbali..
huyo media+ mashabiki ndo wana mpampu ila uwezo mdogo sana..’ huyo ni level za belle 9
ALLY KIBA ni mchezaji mpira mziki umemshinda
Sasa Ngoma Kama nakuelewa Utakosaje
Achàkupotosha watu Kiba yuko juu zaidi ya uyo domo wako
Wcb motooo
Broo ach dharau za kifar wew ally atabak kuw king 2
Du
Kwani zinahusu wachezaji? Kiba ni striker pale Coastal Union
Young Chichi Tz upo sahihi
Grayson Santos Jr. upo sahihi
Yap tena mm sina team ila ukweli ndo uwo braza
Young Chichi Tz sawa
Naombeni Link nifanye yangu
Ndo hvyo ach dharau atkm up team mond
Zaqiir Amar Arham Wcb nawakubal snaa na pia wanauwezo ndo maana wanafika pale walipo bila hata ngoma zao kuchezwa na Media kubwa hap bongo lkn mtaani wanachafua ki nomaaa
ALLIKIBA VIDEO BORA Y MWAKA ..MVUMO WA RADI.
We kiazi kama hunachakupost Shut up. KIBA Kapumzika Music kwa Mda lofa we.
Yeye asubir wakiitisha kinyanyiro cha wacheza mpira
WCB nyumba ya vipaji.
ukubwa/ujuu wa msanii unapima na kazi zake na sio maneno maneno tu na kipimo kizuli n kuptia TUZO m sjui km kuna kpimo kngne mnatumia wenzetu kumuweka msanii juu ya mwenzake.
Huna akili mbwa koko wewe we kwenye ukoo wenu nanii anaomfikia hata abdukiba ustar
Grayson Santos Jr. akili hiyo..’ asakumbe unaelewa kabisa
Mwayrho Moudytaryan ahahahaha hamjiamini na msanii wenu ndo maana
Pious Jilondi domo ,ana tunzo nyingi za mbele,.collables mingi ma wasanii wa africa + usa. sa kibakuli ye kaona acheze mpira tu maana mziki unamtoa nduki
nandy
Iv Alikiba Nae Ni Msanii.?
jua kuwa kuna tafauti kati ya #AFRIMA NA #AFRIMMA
WCB wanafanya good sana katika industry so wako na kila sababu ya kutawala list.!!
Big Up kwao.
4life chama la wana
Ila ww unauwezo wa kufika mbali co kauze bamia ww.. 👆👆
Selemani Mihambo ndo maana mi siimbi mziki..’!
Ahahahahah.! Iv Nikwel Kwamba Kukimbilia Soka Kamkimbia Platnumz Simba..?
Zaqiir hun jipy ni bor ukaukauze karang 2
Kwaiyo Tuwasaidiaje Punguzen Shobo?
Ibrahim Omari we buda kweli..’!
Grayson Santos Jr. hahahaa
Ibrahim omari kuwa na busara hata kdogo tu jenga hoja na sio kutoa matusi hoja ndo znakufanya ueleweke na sio matus mzee
Pious Jilondi nzuri
Sasa ww nani ka kuambia nand msanii
Wcb mashogotyuu wote
WCB4life
Asitolewe nayeye ni mcheza mpira Muziki umemshinda