Bongo Movie
Wasanii kuzindua katiba
Katibu wa Chama cha wasanii wa filamu Tanzania TDFAA , Mussa amesema jumasmosi hii, chama hicho kinataraji kuzinduliwa rasmi katiba ya chama hicho na kukitambulisha kwa wasanii wote.
Wasanii wanaamini kwamba wakati huu kwao ni sawa na wakati wa mapinduzi kutokana na hatua hiyo waliyoifikia, pia wanawomba wasanii wenzao wote wajitokeze, ili kuchukua fomu kwa kujiunga na chama hicho, ambacho kitakuwa kikilinda haki zao.