Burudani
Wasanii tunaingiza hela lazima tulipe kodi, tusiwaonee BASATA wanasimamia sheria – Barakah The Prince (+video)
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Barakah The Prince amesema kuwa wasanii nchini waache kulalamika kuhusiana na malipo ya kibali cha kutoka nje wakati wanaenda kuperform kwani malipo hayo yanawasaidia BASATA kuweza kuendesha baadhi ya kazi zao ambazo zitaisaidia sanaa yetu.
Barakah amesema ili sanaa yetu ikue ni lazima wasanii waende sawa na sheria ikiwemo kulipa kodi na kudai kuwa kulipia kibali hiyo ni sheria ambayo ipo karibia kila nchi ingawaje wasanii wengi walikuwa wamezoea janja janja kipindi cha nyuma.
Akikoleza hoja yake amesema kuwa kitendo cha kulipia ada BASATA zitawafanya wasanii waheshimike na kuwa na sauti ya kusikilizwa na kutatuliwa matatizo yao.
basata ni TRA eeh?uyo mbn amebambanya mambo
nawe ndo umepuyanga kweli
unaongea nn wewe
Uyu nae kakonda sana siku izi sijuwi ana kiherehere
vizuri dogo kwa kulitambua hilo
Umekulupuka Babu
Huyo ni mama Cheusi Mangala……….
#true
yupo sawa kabisa kodi haikisanywi na basata
Huyu Omera nae tangu aje dsm anarukaruka tu we si unaimba mapenzi tu imba harakat tukuone kama unaweza
Kwahy kodi mnazolipa kwny masoko,Sumatra nn..ni Tra hao!!??
we una hisi ni nani?TRA hao sheikh….alafu soma vizur iyo habari ndio ujue kabambanya mambo
ivi nyie wapi mliona BASATA wanausika na kodi eeeh?? TRA TANZANIA REVENUE AUTHOARITY(MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA)….BASATA(BARAZA LA SANAA TANZANIA)uyo kajichanganya