Bongo Movie
Wasanii wa Komedi wajiandaa kujisajili
Waigizaji wa Komedi wameanza mikakati ya kujichangisha ilikukomaza chama chao kwa kukifanyia usajili BASATA, iliwaweze kutetea haki zao ambazo zimekuwa ngumu kuzipata kutokana na watu wachache kulimiliki gemu la filamu nchini.
Asema Mboto kwamba wasanii wa filamu lazima wote waungane kwa hii itakuwa kwaajili ya manufaa ya wasanii wote.