Wasanii wa muziki nchini Uganda waungana kumtetea Bobi Wine, wamuomba Rais Museveni atumie busara za uongozi
Wasanii wa muziki nchini Uganda wameungana kwa pamoja mitandaoni kumshawishi Rais wa nchini hiyo Yoweri Museveni kumuachia huru mara moja msanii mwenzao wa muziki Bobi Wine ambaye pia ni Mbunge wa upinzani wa jimbo la Kyadondo.
Wasanii akiwemo Jose Chameleone, Eddy Kenzo, Vinka, Weasel, Juliana Kanyomozi, Irene Ntale na watu wengine maarufu nchini humo wametumia mitandao ya kijamii kumshawishi Rais Museveni kumuonea huruma Bobi Wine.
https://www.instagram.com/p/BmiuzlxBvDC/?taken-by=julianakanyomozi
Free @HEBobiwine Our Brother From Another Mother.#FreeBobiWine #UgandanArtist pic.twitter.com/W6Ej9mt8xO
— RADIO & WEASEL (@RadioandWeasel) August 16, 2018
https://www.instagram.com/p/BmiMk6CFtNF/?taken-by=jchameleon
Thank you @JChameleone for standing with @HEBobiwine 👏 👏 #ReleaseBobiWine pic.twitter.com/OY9XziZ5fL
— UGAMAN (@Ugaman01) August 16, 2018
https://www.instagram.com/p/BmiuzlxBvDC/?taken-by=julianakanyomozi
https://www.instagram.com/p/BmjbsUCARRr/?taken-by=irene_ntale
https://www.instagram.com/p/BmiKs1dnOzm/?taken-by=eddykenzo
Bobi Wine alikamatwa mjini Arua Uganda siku ya Jumatatu ya wiki hii na jeshi la polisi kwa kudaiwa kuwa alichochoa ghasia na kusababisha wananchi kuvamia msafara wa Rais Museveni aliyekuwa mjini humo kwa ajili ya kampeni za uchaguzi mdogo jimboni humo.
<blockquote><strong>SOMA ZAIDI -<a href=”http://bongo5.com/raia-wenye-hasira-waushambulia-kwa-mawe-msafara-wa-rais-museveni-mbunge-wa-upinzani-bobi-wine-akamatwa-kwa-uchochezi-08-2018/”> Raia wenye hasira waushambulia kwa mawe msafara wa Rais Museveni, Mbunge wa upinzani ‘Bobi Wine’ akamatwa kwa uchochezi</a></strong></blockquote>
Hata hivyo, ndugu wa rapa huyo mpaka sasa hawajui yupo wapi ingawaje jeshi la polisi nchini humo linadai kuwa yupo hospitalini amelazwa.