Burudani

Wasanii wote sioni wa zaidi yangu – Mr. Nice

Msanii mkongwe wa muziki Bongo, Mr. Nice amesema hakuna msanii anayemkubali zaidi yake.

Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha The Playlist, Times Fm kuwa bado anaamini katika uwezo wake kiasi kwamba hata dunia nzima hakuna ambaye anaweza kumtanguliza mbele kiuwezo kabla yake.

“Mimi hakuna msanii yeyote ninayemkubali duniani, msanii ninayemkubali ni Mr. Nice kwa sababu naamini inatakiwa ujipende kabla hujampenda mwenzio, kwa hiyo wasanii wengine wote sioni kama kuna wa zaidi yangu” amesema Mr. Nice.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents