Burudani

Watanzania wawili waiaga Tusker Project Fame 6

Tanzania leo imeanza vibaya kwenye shindano la Tusker Project Fame msimu wa sita, baada ya washiriki wawili wanaoiwakilisha kutoka.

tana

Washiriki hao ni Durbat na Tanah ambao wameungana na mshiriki wa Rwanda, Peace kuyaaga mashindano hayo. Kutokana na kuondolewa kwa washiriki hao, Tanzania imebakiza washiriki wawili tu kwenye shindano hilo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents