Habari

Waziri Kairuki amtwisha mzigo wa vyeti feki Mh. Nkuchika (Video)

Waziri wa Madini, Angellah Kairuki amesema kuwa hana shaka na Waziri mpya , George Nkuchika katika ofisi ya Utumishi na Utawala bora, huku akieleza kuwa sehemu iliyobaki ana anaamini Waziri huyo ataimalizia: Tazama video hii akieleza

Oktoba 7 mwaka huu, Rais Magufuli alifanya Mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri ambapo baadhi ya mawaziri wamepoteza nafasi zao huku baadhi wakipanda na wengine wapya wakiteuliwa.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents