Burudani
Waziri Mkuu Majaliwa kwenye msiba wa mke wa Babu Tale (Video)
Mhe Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa aliwakilishwa na msaidizi wake Fadhili Liwaka kwenye mazishi ya Mke wa Babu Tale, Shammy yaliyofanyika Mkuyuni, Mkoni Morogoro.
https://www.instagram.com/tv/CCC4X_QhKSe/?igshid=1s94j1q10mc9o
Liwaka alisema ametumwa na Mhe Waziri Mkuu kuja kutoa pole kwa ndugu jamaa kutokana na msiba huo mzito.