Picha: Waziri Mkuu Pinda atembelewa na jopo la semina ya fursa shambani kwake Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda jana alitembelewa shabani kwake, Dodoma na jopo la semina ya fursa linaloenda sambamba na Serengeti Fiesta 2013.
Timu hiyo ilifika kwenye mashamba hayo yaliyopo Kizota nje kidogo ya mji wa Dodoma eneo la Zuzu ambalo ndilo jina halisi la mashamba hayo ambako panafanyika kilimo cha mazao mbalimbali, ikiwemo ufugaji wa Mbuzi zaidi ya mia mbili,kilimo cha Zabibu, Nyanya,Ndizi na ufugaji wa asali.
Bwana kilimo wa Waziri Pinda akitoa elimu ya green house
Bwana Shamba Yona,wa mbele akielezea aina ya zabibu
Bwana Shamba,Yona,kulia akiwa na Mrisho Mpoto
Jopo zima la semina ya fursa likiingia shambani kwa Mizengo Pinda
Maajabu ya Green house inavyokuza mimea ya nyanya
Mrisho Mpoto akiangalia aina za asali
Mrisho Mpoto akikamata fursa kwa Waziri Pinda
Nick wa Pili,kushoto,Queen Darleen, Msami na Stamina wakiwa shambani
Nick akiwa kwenye shamba la zabibu
Waziri mkuu Mizengo Pinda akielezea jinsi ya kukausha zabibu
Waziri mkuu Mizengo Pinda akiongea na vyombo vya habari
Waziri mkuu Mizengo Pinda akitambulisha asali aliyovuna na jinsi alivyoifunga
Waziri mkuu Mizengo Pinda na Mkurugenzi wa Vipindi,Uzalishaji na Mipango wa Clouds Medai Group,Ruge Mutahaba