Habari

Waziri Mkuu mpya wa Uingereza kuteuliwa Septemba 2

Waziri Mkuu mpya wa Uingereza, atateuliwa Septemba 2.

david_cameron_0

Tarehe hiyo imetangazwa Jumatatu hii na kamati maalum inayosimamia upatikanaji wa waziri mkuu mpya wa nchi hiyo baada ya David Cameron kutangaza kujiuzulu wiki iliyopita.

“We recommend that the process of electing a new leader of the Conservative Party should commence next week … and conclude no later than Friday the second of September,” alisema Graham Brady, mwenyekiti wa kamati hiyo.

Cameron alitangaza kustaafu baada ya Uingereza kuamua kujitoa kwenye Umoja wa Ulaya, EU.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents