Michezo
Waziri Nape Nnauye atangaza kumsimamisha kazi Mtendaji Mkuu baraza la michezo (BMT)
Mh.Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Nape Nnauye, ametangaza rasmi kumsimamisha kazi Mtendaji Mkuu wa Baraza la michezo Taifa (BMT) Hendry Lihaya.
Katibu Mtendaji Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Bw. Henry Lihaya
Sikilza hapa chini Mh. Nape Nnauye akiongea