Habari
Waziri Nchemba awataka Watanzania kuwa mbele ya matukio (+Video)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka wananchi wa Tanzania kuwa mbele ya matukio kabla hayajatokea ili yaweze kudhibitiwa. Tazama video hii akieleza.