Habari
Waziri Ndalichako kumsomesha mdogo wa Akwelina (Video)
Baadhi ya vitu vilivyopokelewa kwa faraja katika familia ya Mzee Akwilini ni ahadi ya Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Prof. Joyce Ndalichako ya kumsomesha mdogo wa marehemu ambaye awali alikuwa anasomeshwa na Akwelina kwa fedha za mkopo wa Chuo.