WCB yawapatia magari wasanii wake Lavalava na Mbosso (+video)
WCB yawanunulia magari wasanii wake, Mbosso na Lavalava hii ni mara baada ya Diamond Platnumz kuposti video clip kwenye Insta Story yake na kuonesha magari hayo hapo jana siku ya Jumanne.
Mara baada ya kukabidhiwa kwa zawadi hiyo ya magari Lavalava amesikika akisema ”Ebwana eeh kama unavyoona mambo yamefana, bwana tukutane sheli muambie na mwenzako, mr Mbosso muambie wasikie asiyefanya kazi na asile,” amesema Lavalava.
Wakati kwa upande wake Mbosso amewaambia mashabiki zake kuwa ” Ebwana eeh kesho tukutane Wasafi tv.”
Magari hayo waliyopewa wasanii hao wawili ni aina ya Toyota Harrier moja nyeusi na nyingine rangi ya maziwa huku mashabiki wa muziki wakiwa wanatamani kujua kuhusu wasanii wengine wa WCB kupata kwa zawadi hizo.
Wasanii hawa wawili wamepishana mwaka moja tu kujiunga kwao na WCB wakati Lavalava akitambulishwa May 23, 2017 huku Mbosso kwa upande wake akitangazwa rasmi January 27, 2018.
HATUBAHATISHI UNAKIMBIZANA NA BEGI LA PESA WEWE HUKO MBELE BEGI LIKO NYUMA UNALIOGOPA 😂😂😂
Watapata tabu sana
Sio kigeni hata Raymond na harmonize washaga pewa kitambo tu
Wcb ni label ya juu hapo bongo
Ok
Kumbe mlikuwa amumpendi mavoko for real nyie
👍 GoodA
Ndiyo kk
Abdul Aziiz Mgude why now bra alikuwa ajuwi kuimba
Toyota hahahaha
kawaida
Pw
Mavoko kazi ilimushind juu ya jeuli eti hawez kufany kzi kam wengin mjinga aend akahangayik
mbona alipewanga kitmbo
Shadrake TheDon Kita Tz what you mean bra kitmbo what is that
Mavoko akikusiki unamshobokea ataku bandua ndugu so tuliza nundu Ilo lixje pigiliwa
Sio alipewa gari alikua nalo toka kitambo kwan kaanza muziki Jana au yanawatoka
Unayo
Willyum Dismas amna bwana mimi naongea gisi bongo ulivyo towa tariff
unataka wapewe gari gani?! mwanaume dharau za kislay queen tena yale ya insta
Jamani tunashukuru kwa taarifa ila ila hayo magali ni yakwao ayatusaidii kitu