Burudani
Wema Sepetu aililia serikali kuhusu mfumo wa usambazaji filamu (+ Video)
Msanii wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu ametoa maoni yake mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Mh. Paul Makonda kuhusu mfumo wa usambazaji filamu.
Akiongea katika mkutano uliowakutanisha wasanii wa nyanja zote katika viwanja vya Leaders Jijini Dar Es Salaam Wema amesema haya:-
By Ally Juma.