Burudani

Wema Sepetu akana kuchepuka na mume wa Irene Uwoya, Dogo Janja

Malkia wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu amekanusha vikali tetezi ambazo ziliibuliwa na mwanadada wa mitandaoni Mange Kimambi kwamba kuna siku alichepuka na Dogo Janja ambaye ni mume wa ndoa wa Irene Uwoya.

Mange ambaye amekuwa akilumbana kwenye mitandao ya kijamii na Wema Sepetu, siku ya jana alipost chart mtandaoni akionyesha kuzungumza na Dogo Janja kuhusiana na tetesi hizo.

Hata hivyo aliufuta ujumbe huo muda mchache huku watu wengi mtandaoni wakidai kwamba taarifa hizo hazikuwa na ukweli wowote.

https://www.instagram.com/p/BpEIBd_nCK_/?taken-by=wemasepetu

Baada ya kuibua tetesi hizo, Wema ambaye siku ya jana alimtangaza mpenzi wake mpya, amedai sio kweli kwamba anatoka kimapenzi na mpenzi huyo wa Irene Umoya.

“Pale unapoona mtu anakuongelea vitu visivyo make sense ili mradi tu… Mi Arusha nimeenda Lini…??? Na Huyo Dogo nimekaa nae WAPI…???? Hata mazoea nae sina…!!!Ila Dada anakuwaga na stress za ajabu sometimes… Kimambi… Utaniacha lini nipumue in Peace…!??? You are Obsessed wallahy,” aliandika Wema Sepetu.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents