Burudani

Wema Sepetu hakamatiki Instagram

Hakuna ubishi kuwa Wema Sepetu ni mmoja ya warembo wa Afrika Mashariki mwenye nguvu kubwa ya mashabiki. Umaarufu wake unazidi kuongozeka kiasi ambacho umemfanya afikishe followers milioni 3 kwenye mtandao wa Instagram.

Wema anaendelea kushikilia rekodi yake ya kuwa mrembo wa kwanza Bongo kuwa na idadi kubwa ya followers kwenye mtandao huo.

Umaarufu wa mrembo huyo umezidi kuteka vichwa vya habari kwa takribani miaka 11 tangu aliposhinda taji la Miss Tanzania mwaka 2016.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents