Technology

WhatsApp inajiandaa kuja na huduma ya ‘video call’

WhatsApp inatarajia kuanzisha huduma ya mawasiliano ya video.

WhatsApp-video-calling

Hivi karibuni iliweka version ya majaribio kwa watumiaji wachache lakini imeitoa kwaajili ya kuifanyia marekebisho zaidi.

Video calling kwa WhatsApp imekuwa ikifanyiwa kazi kwa takriban miezi sita sasa ambapo December mwaka jana screenshots za version ya iOS ya app hiyo ilivuja ikionesha huduma hiyo.

Na sasa huduma hiyo iko mbioni kutambulishwa kwa watumiaji wa app hiyo duniani kote. Wikiendi iliyomalizika baadhi ya watumiaji waliripoti kuwa option ya WhatsApp ilipatikana kwenye beta version 2.16.80.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents