Wiki ya wanafunzi wa kimataifa
kamati ya waandaaji wa wiki ya wanafunzi wa kimataifa, ISWIT, wakiongozwa na Mwenyekiti wao, Jokate Mwegelo, jana walitambulisha maonyesho ya mwaka huu kwenye hoteli ya New Africa (ISWIT 2010) ambayo yatafanyika mkoani Dodoma kuanzia Julai 17 mpaka 24.
Rais wa ISWIT, Jokate Mwegelo akifafanua jambo kwa waandishi
Maonyesho hayo ambayo hufanyika kila mwaka, yatakuwa na kauli mbiu ya ‘Sauti ya vijana wasomi katika kujenga Afrika; njoo usikie na kutenda’ na huvutia wabafunzi wa mataifa mbalimbali duniani
Mwakamu Mwenyekiti, Samuel Ndandala akijibu swali la mwandishi
Kutakuwa na matukio mbalimbali kuelekea kwenye tukio hilo kubwa