Burudani
Wizkid ajizawadia madini Birthday yake
Msanii kutoka Nigeria Ayodeji balogun a.k.a Wizkid, ameamua kujizawadia madini katika siku ya kuzaliwa kwake.
Wizkid ambaye ametimiza miaka 27 siku ya jana alisherekea Birthday yake kwa kujipatia zawadia ya cheni zilizo na Almasi pamoja na dhahabu, cheni ambazo zimetengenezwa na Joseph Frost kutoka Uingereza.
Cheni hizo zenye sura ya msanii huyo zinadaiwa kuwa ghali kiasi kikubwa cha pesa pia bado haijabainika ni kiasi gani kimetumika.
Na Laila Sued