Burudani

Wolper afunguka baada ya kukumbatiwa na Harmonize ‘Alikuja kumnunulia Sarah vitenge’ (Video)

Msanii wa muziki @harmonize mchana wa leo alitembelea maonesho ya Sabasaba kupitia mabanda ya mastaa Meet Your Star ambapo miongoni mwa mabanda aliyotembelea ni la mpenzi wake wa zamani @wolperstylish . Muigazaji huyo amefunguka kuzungumzia sababu ya wawili hao kuelewana kwa sasa tofauti na awali.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents