Burudani

Word on the street: Rihanna ni mjamzito wa mtoto wa Chris Brown

Kuna tetesi zenye nguvu kuwa huenda hitmaker wa Diamonds, Rihanna anatarajia kupata mtoto na mpenzi wake Chris Brown.

rihanna-chris-brown-pregnant-rumors-lead

Tetesi hizo zilizoandikwa na websites za kuaminika za nchini Marekani zimekuja baada ya staa huyo kusogeza mbele tarehe za ziara yake Diamonds wiki hii kutokana na kuwa mgonjwa.

Wiki hii Rih mwenye miaka 25, alionekana akienda kuonana na daktari jijini Los Angeles.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents