Fahamu

Yafahamu maajabu haya ya mto Nile na sababu za maji ya mto huo kutumiwa na taifa la Misri tu pia ifahamu mito 10 mirefu zaidi duniani (+ Video)

Yafahamu maajabu haya ya mto Nile na sababu za maji ya mto huo kutumiwa na taifa la Misri tu pia ifahamu mito mirefu zaidi duniani (+ Video)

Mto Nile  ni mto mkubwa upande wa  bara la Afrika. Mara nyingi hutajwa kuwa pia ni mto mrefu kabisa duniani kushinda mto Amazonas. Kutoka Ziwa la Viktoria Nyanza hadi mdomo wake kwenye Bahari ya Mediteranea Nile inavuka nchi za UgandaSudan KusiniSudan na Misri kwa urefu wa km 6,650.

Beseni la Nile hukusanya maji ya eneo linalojumlisha 10% za eneo la Afrika yote au km²3,349,000. Takriban watu milioni 250 hukalia beseni hilo.

Chanzo cha Mto huu,

Majina hayo ya “nyeupe” na “buluu” yana asili yake katika mji wa Khartoum ambako mito yote miwili inaunganika ilhali kila mmoja una rangi tofauti kutokana na udongo tofauti uliotia rangi yake kwenye maji hayo. Vyanzo vya Nile ni mito yote inayopeleka maji kwenda Ziwa Viktoria Nyanza katika nchi za TanzaniaBurundiRwandaJamhuri ya Kidemokrasia ya KongoUganda na KenyaChanzo cha mbali kabisa ni mto wa Luvironza huko Burundi unaoingia katika mto Kagera na kufika Ziwa Viktoria Nyanza. Mkono mwingine wa Nile unaanza Ethiopia ukiitwa Abbai au Nile ya Buluu: unatoka katika Ziwa Tana.

Hakuna mapatano kabisa Nile inaanzia wapi. Kawaida ya waandishi Waingereza ni kuhesabu kuanzia Ziwa Viktoria; waandishi wa mataifa mengine huwa wanaweza wakaita tayari mto Kagera kwa jina “Nile ya Kagera”.

Maji ya Nile.

Majina ya sehemu ya mto kuanzia Ziwa Viktoria hadi Khartoum ni kama yafuatayo:

  • kwa sababu ya rangi wakati wa mvua yake kutokana na udongo katika maji jina linakuwa Bahr al-Abyad kuanzia Bahr al-Ghazal hadi Khartoum
  • kuanzia Khartoum jina pekee ni Bahr an-Nil (mto wa Nile) hadi mdomo wake wa delta kwenye Mediteranea.

Matumizi ya Mto Nile.

Tangu milenia kadhaa maji ya Nile yamekuwa msingi wa maisha yote nchini Misri na pia kwa sehemu kubwa ya nchi ya Sudan.

Katika miaka ya 1920 Uingereza kama mtawala mkoloni wa Sudan na Misri ulikuwa na majadiliano juu ya ugawaji wa maji ya mto na kufikia mapatano juu ya matumizi ya maji ya mto Nile ya 1929.

Hadi leo Misri inadai ya kwamba mapatanao yale yanakataa ujenzi wa malambo na kuanzishwa kwa miradi ya umwagiliaji inayotumia maji ya Nile bila kibali cha serikali yake. Hapa Misri inadai ya kwamba nchi zote zilizokuwa makoloni ya Uingereza wakati ule zinafungwa na mapatano ya mwaka 1929 na hizi ni pamoja na Sudan, Uganda, Kenya, Tanzania, halafu pia Ethiopia iliyopatana na Uingereza wakati ule. Nchi nyingine hazikubali madai hayo, ila majadiliano juu ya mapatano mapya ya ushirikiano katika beseni la Nile yanaendelea.

Mito mirefu zaidi Du iani.

1. Amazon River – 6,853 km (4,325 miles) – America

2. Nile River – 6,853 km (4,258 miles) – Africa

3. Yangtze River – 6,300 km (3,917 miles) – Asia

4. Mississippi/Missouri – 6,275 km (3,902 miles) – Asia

 

5. Yenisei/Angara – 5,539 km (3,445 miles) – Asia

The 15 Longest Rivers in the World

Rank River Length (Miles) Length (km)
1 Amazon 4,325 6,992
2 Nile 4,258 6,853
3 Yangtze 3,917 6,300
4 Mississippi-Missouri 3,902 6,275
5 Yenisey-Angara 3,445 5,539
6 Yellow 3,395 5,464
7 Ob-Irtysh 3,364 5,410
8 Río de la Plata 3,030 4,880
9 Congo 2,922 4,700
10 Amur 2,763 4,400
11 Lena 2,736 4,400
12 Mekong 2,705 4,350
13 Mackenzie-Peace 2,637 4,241
14 Niger 2,611 4,200
15 Brahmaputra 2,391 3,848

Mito mirefu ya Afrika inaonyeshwa katika orodha ifuatayo.

Mara nyingi mto wa Nile unahesabiwa kuwa mtu mrefu kuliko yote ya Afrika pia duniani. Kadirio la urefu wa mto hutegemea jinsi ya kuhesabu tawimito yake. Orodha inayofuata ina tofauti na orodha inayokadiria kwa namna nyingine.

Urefu
(km)
Jina Mdomo Beseni
(km²)
Kiasi cha maji kinachotolewa
(m³/s)
6.671 Nile pamoja na Kagera Mediteranea 3.071.306 2.832
4.835 Kongo + Luvua pamoja na Luapula na Chambeshi Atlantiki 3.692.062 39.160
4.374 Kongo Atlantiki 3.692.062 39.160
4.184 Niger Atlantiki 2.112.774 9.570
2.574 Zambezi Bahari ya Hindi 1.384.999 7.070
2.272 Ubangi pamoja na Uele Kongo 613.202 7.000
2.160 Oranje Atlantiki 941.421 800
2.153 Kasai Kongo 925.172 10.000
1.820 Shebeli Juba 336.627
1.819 Volta pamoja na Volta nyeusi Atlantiki 414.243 1.290
1.800 Okavango inaishia katika delta ya barani ya Okavango 721.258 0
1.740 Chari pamoja na Ouham Ziwa la Chad 669.706
1.680 Limpopo Bahari ya Hindi 414.524 800
1.658 Juba Bahari ya Hindi 803.212 550
1.500 Cuando Zambezi
1.450 Lomami (mto) Kongo 110.000 1.700
1.430 Senegal pamoja na Bafing Atlantiki 435.981 1.500
1.416 Benue Niger 327.000
1.400 Luvua pamoja na Luapula na Chambeshi Kongo
1.350 Nile ya buluu (=Abay) Nile 326.400
1.288 Shire pamoja na Songwe Zambezi
1.287 Aruwimi Kongo 116.000
1.251 Vaal Oranje 189.000
1.160 Komoé Atlantiki 79.087
1.150 Sankuru Kasai
1.140 Volta nyeupe Volta
1.130 Uele Ubangi
1.127 Gambia Atlantiki 69.931 2.000
1.120 Atbara Nile 100.000
1.100 Kwango Kasai 263.500 2.700
1.100 Sangha pamoja na Mambere Kongo 180.418
1.100 Wadi Draa (mto wa muda) Atlantiki 114.569
1.094 Ogooué Atlantiki 221.968
1.083 Ruvuma Bahari ya Hindi 165.760
1.060 Lukenie pamoja na Fimi Kasai
1.050 Bani pamoja na Baoulé Niger
1.020 Kunene 975 km? Atlantiki 110.024
1.000 Kwilu 960 km? Kwango
1.000 Molopo (mto wa muda) Oranje (mto)
By Ally Juma.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents