Habari

Yaliyojiri sherehe za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar (+Picha 23)

Leo ni siku ya sherehe za miaka 54 Mapinduzi ya Zanzibar, ambapo Rais a Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Pombe Magufuli na Makamu Rais wa Tanzania, Samia Suluhu wamehudhuria sherehe hizo na viongozi wengine wakiserikali na Marais wastaafu. Tazama picha ;

Mapinduzi ya Zanzibar yalitokea Januari 12 mwaka 1964 ili kumuondoa madarakani Sultani wa Zanzibar na serikali yake, iliyoundwa hasa na Waarabu.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents