Michezo
Yanga kukutana kujadili mustakabali wa raundi ya Pili
Klabu ya Yanga imewaalika Viongozi wa Matawi ya Dar Es Salaam na mikoa ya jirani katika Mkutano maalum utakao fanyika Jumamosi tarehe 15/02/2020 kuanzia saa 4:00 asubuhi.
Klabu ya Yanga imewaalika Viongozi wa Matawi ya Dar Es Salaam na mikoa ya jirani katika Mkutano maalum utakao fanyika Jumamosi tarehe 15/02/2020 kuanzia saa 4:00 asubuhi.