Timu ya Yanga wamefanya sherehe ndogo ya kukata keki katika mgahawa wa Nyumbani Loudge, kwaajili ya kujipongeza kwa yale waliyoyapata kutokana na kujituma kwao kwenye ligi ya Kagame .
Baadhi ya picha za wasanii na wachezaji mpira wakiwa kwenye pozi mbalimbali