Michezo
Yanga SC yaondoka kuwafuata Njombe Mji
Kikosi cha klabu ya Yanga kinaondoka leo asubuhi kuelekea Njombe tayari kwaajili ya mchezo wake wa ligi kuu dhidi ya Njombe Mji utakao chezwa jumapili ya tarehe 10.
Yanga inaondoka na wachezaji wake 26 katika msafara huo na viongozi 12 wakiwemo 8 kutoka benchi la ufundi ambapo timu hiyo itasalia huko huko kwaajili ya michezo yake miwili ya ligi iliyopangwa kwenye miji ya Njombe na Songea.
Soma kikosi cha Yanga