Michezo
Yanga SC yaweka hadharani silaha za kuihangamiza Kagera Sugar
Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara wanashuka dimbani hii leo huko Kaitaba mjini Bukoba kusaka alama tatu muhimu dhidi ya wenyeji wao wakata miwa wa Kagera Sugar mchezo wa duru la sita utakao pigwa majira ya saa 10 alasiri.
Tayari kikosi cha wanajangwani hao kimeanikwa wazi watakao vaana na Kagera .
Wachezaji hao ni Juma Abdul, Gadiel Mb aga, Andrew Vicent, Kelvin Yondan, Said Makapu, Pius Buswita,Papy Tshishimbi, Ibrahim Ajib, Obrey Chirwa, Geofrey Mwashiuya.
Wachezaji wa akiba ni Benno Kakolanya, Nadir Haroub, Emmanuel Martin, Raphael Loth, Haji Mwinyi, Matheo Anthony, Edward Maka.