Michezo
Yanga yamtimua kazi Mwinyi Zahera ”Benchi lake lote la Ufundi, Meneja mpaka Mlizi hatujasajili kwaajili ya ligi ”(+Video)
Uongozi wa klabu ya Yanga, hii leo siku ya Jumanne ya tarehe 4/11/2019 imetangaza rasmi ya kuachana na kocha wake Mwinyi Zahera, benchi lake la Ufundi, Meneja mpaka mlinzi huku ikidai kuwa imeamua kuanza upya.