Michezo

Yanga yatangaza kumfukuza kazi kocha wake, waomba radhi viongozi wa nchi

Klabu ya Yanga yatangaza kumfukuza kazi  kocha wake  @EymaelLuc na kuhakikisha anaondoka haraka nchini kutokana na kauli zisizo za kiungwana na kibaguzi alizozitoa na kusambaa katika mitandao ya kijamii na vyombo mbalimbali vya habari.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents