Michezo
Yanga yatangaza kumfukuza kazi kocha wake, waomba radhi viongozi wa nchi
Klabu ya Yanga yatangaza kumfukuza kazi kocha wake @EymaelLuc na kuhakikisha anaondoka haraka nchini kutokana na kauli zisizo za kiungwana na kibaguzi alizozitoa na kusambaa katika mitandao ya kijamii na vyombo mbalimbali vya habari.