Videos
Young Buck atoka jela na kuachia video ya ngoma yake mpya ‘Rage’
Aliyekuwa rapper wa kundi la G-Unit, Young Buck ni mtu huru kwa sasa. Mwaka 2012, Young Buck aliingia jela kutumikia kifungo cha miezi 18 kutokana na kosa la kumiliki silaha. Akiwa mtu huru, rapper huyo ameachia video ya ngoma yake mpya, Rage.
http://www.youtube.com/watch?v=IxlKnV2MFS0
Rapper huyo alitakiwa kutoka jela February 2014. Buck aliweka habari hiyo njema kwenye mtandao wa Twitter na kupost picha yake mwenyewe.
I'm officially a free man!!!
— The Real Young Buck (@youngbuck) October 1, 2013
THANK the Lord for all he put me thru, he made me a better man, want to thank my fans and the people in the industry who held me down!!
— The Real Young Buck (@youngbuck) October 2, 2013