Burudani
Young Dee afikiria kumshirikisha Diamond au Patoranking wa Nigeria
Young Dee amesema ana mpango wa kumshirikisha Diamond Platnumz au Patoranking wa Nigeria.
Young Dee ameiambia Bongo5 kuwa yupo kwenye mpango huo ila ukifika muda muafaka kila kitu kitakuwa wazi.
“Hii bado muda wa kuanza kuizungumzia, we are looking forward for that. Lakini siwezi kuizungumzia kwa sasa hivi. Mikakati ipo na tunaifanyia kazi, lakini time yake haijafika ya kuizungumza,” amesema rapper huyo.