Burudani

Yvonne Chaka Chaka, Mafikizolo na Sauti Sol kutumbuiza Dar June 6

Muimbaji mkongwe wa Afrika Kusini, Yvonne Chaka Chaka pamoja na kundi la Mafikizolo watatumbuiza jijini Dar es Salaam, June 6 mwaka huu.

fff

Show hiyo imepewa jina la Party In The Park – SA Invasion ambapo pamoja na wasanii hao, kundi la nchini Kenya, Sauti Sol nalo litakuwepo kutumbuiza.

Wasanii wengine ni pamoja na Black Motion, Zaki Ibrahim Beatenberg Xoli na Michael Djvoodoosa Darcio.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents