Burudani
Z Anto apokea barua ya Binti Kiziwi kutoka gerezani China ‘amepata stress kusikia nimeoa’
Muimbaji wa muziki aliyewahi kufanya vizuri na wimbo kama Mpenzi Jini na nyingine nyingi, amefunguka kuizungumzia barua aliyotumiwa na aliyekuwa mke wake, Binti Kiziwi ambaye anatumikia kifungo nchini China baada ya kukutwa na dawa za kulevya.
Duuuuuu simchezo
Kwan yupo bint kizw
Na nyie bongo 5 na huyo Z anto wenu khaaa..