Promotion
Zain yaimwagia BSS mamilioni
Kampuni ya simu za mikoni Zain Tanzania leo imetangazwa rasmi kuwa mdhamini mwenza katika shindano la muziki la kusaka vipaji Bongo Star Search, Zain imetoa udhamini wa shilingi Mil 100.
Pichani ni Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya simu Zain, Kelvin Twisa (kulia) na Mkurugenzi wa kampuni ya Benchmark Production, Rita Paulsen (kushoto) wakiitangaza udhamini wa kampuni ya Zain.