Burudani
Zayn Malik na Gigi Hadid waachana
Mwaka 2018 umeendelea kuwa ni washetani kwa couple za wapendanao wenye majina makubwa. Zayn Malik na Gigi Hadid waongeza orodha ya mastaa waliomwagana kwa mwaka huu.
Zayn Malik na Gigi Hadid
Wawili hao wamethibitisha kuachana kupitia mtandao wa Twitter. Zayn alikuwa wakwanza kuandika ujumbe huo hapo chini kwenye mtandao huo.
— zayn (@zaynmalik) March 13, 2018
Hata hivyo Hadid alijibu mapigo kupitia mtandao huo kwa kuandika:
https://twitter.com/GiGiHadid/status/973640377839374337
Wawili hao wameachana ikiwa ni takribani miaka miwili imepita wamedumu kwenye mahusiano ya kimapenzi ambayo walianzisha July 2016.