Bongo Movie
Zimwi awasihi ma-comedy wenzake
Mwigizaji maarufu wa filamu za Vichekesho, Zimwi amewataka wasanii wenzake wangane kwa pamoja ilikudai haki zao kwa matajiri wanaomiliki
vyombo vya usambazi wa filamu na sio kuwang’ang’ania wasanii wenzao wanaoigiza filamu za sliasi, kama wanavyoziita
Alisema matajiri wao ndiyo wenye nguvu za kuweza kuwasaidia ilikupata haki zao, na sio hao waigizaji, kwani wanapobanwa kwenye soko ndiyo sababu wanakuwa maskini na kuigiza filamu kwa bei nafuu na hata kwa mkopo.
Lakini amesema kama wataweza kuwashawishi wasambazaji na matajiri kununua filamu kwa bei nzuri basi wanaweza kuwapata nafuu hata katika kuigiza kwa wasanii wengine