Zinduka!
Professor Jay na Rais Kikwete
Rais Kikwete na Marlaw
Rais Kikwete na Banana Zorro
Rais Kikwete na Bi Kidude
Rais Kikwete na Lady Jay Dee
Rais Jakaya Kikwete akiwa amepeana mkono na wanazumziki mbali mbali wa hapa bongo akiwamo bi Kidude, Lady Jay Dee, Professor Jay, Banana Zorro na Marlaw Ikulu jijini Dar kwa lengo la kupiga picha mbalimbali kwa ajili ya ZINDIUKA! kampeni ya kutokomeza malaria inayotarajiwa kuzinduliwa rasmi Februari 13, mwaka huu kwa onyesho kubwa litakalofanyika kwenye viwanja vya Leaders Kionondoni.
Rais Kikwete na Raqey kutoka iView
Mgeni wa heshima anatarajiwa kuwa Rais Kikwete na kampeni hiyo itaendeshwa nchi nzima kuhamasisha kizazi kipya cha vijana kupambana na ugonjwa wa malaria ili kuifanya jamii iwe salama dhidi ya ugonjwa huo chiji ya uratibu Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii na mradi wa kutokomeza malaria.
Picha zote kwa hisani ya iView na Raqey.com