Burudani
Zuchu:Namshukuru Rais Magufuli mstaafu Kikwete na Diamond kwa upendo, Kwanini iwe mimi na asiwe mwingine (+Video)
Namshukuru sana Rais wangu Magufuli kwa upendo alioonyesha kwagu pia Mstaafu Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete lakini pia kwa Boss wangu na Role model wangu @diamondplatnumz , kuna wasichana wengi na kuna kipindi najiuliza kwanini imekuwa mimi hata WCB nzima sasa hivi kila kitu ni @officialzuchu
Mbali na hilo ameeleza kuwa @mbosso_ ndio msanii wake pendwa.