Muziki

Zuchu katika ujio mpya wa kimataifa, aachia video na msanii wa Nigeria Joeboy ‘Nobody’ (+Video)

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva @officialzuchu ameachia video ya ngoma yake mpya aliyomshirikisha msanii kutoka Nigeria @joeboyofficial #NOBODY, Ngoma hiyo ikiwa imefanywa na Director Kenny huku audio akiifanya Prodyucer Lizzer Classic kutoka Wasafi.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents