Michezo
Aden Rage akasirishwa GSM kunyimwa kuidhamini Ligi Kuu kisa Yanga (Video)
Aliyewahi kuwa Rais wa Simba Aden Rage akiwa kwenye mdahalo wa kuangalia tathmini ya Ligi Kuu ya 2021/22 na mchango wa serikali katika kuchochea ukuwaji wa mpira.
Rage amezungumzia vitu mbalimbali akiwataka viongozi wa TFF kuwaheshimu watu ambao anaonyesha nia ya kudhamini ligi kuu.